Kiongozi Muadhamu asisitizia umoja kati ya Waislamu

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, leo hii umoja na mshikamano, ndio mambo yenye umuhimu mkubwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1361635    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/01/21